
Mh John Komba mbunge wa mbinga(CCM) akicha usingizi ikiwa ni njia mmoja wapo inayotumiwa na wabunge kuwakilisha wananchi.
Nashauri kwa wale wabunge wasaliti wanaopigania kupewa posho za vikao sitting allowance laki mbili kwa siku wasisahau kuomba pia Sleeping allowance maana wengine wanapiga tu usingizi.
Tutafika tu
4 comments:
bora umerudi ulingoni mkuu. tafadhali usiondoke tena hapa
kaka Edo una vituko wewe:-) Hiyo barabara yaani mvua zikinyesha si barabara ila basi tu...
Kamala! Unafikiri, yaani asiondoke tena na hasa bila kuaga:-)
Hbari ya kwako Kamala.Asante sana kwa kunipokea ndugu yangu.Hakika niliwakumbuka sana..nipo kwenye majaribio nitarejea rasmi dec 20..nashukuru tupo pamoja
Dada Yasinta..Nilibahatika kufika huko mbinga miaka kadhaaa iliyopita ndio maana nashngaa yaani hadi leo mambo ndio hivyo na mh ndio anaomba kabisa shuka bungeni?:D
Naendela na majaribio kuanzia dec 20 ndio nitakuja kutulia rasmi.Asanteni kwa kunitia moyo.
Any way tutafika tu
Post a Comment