Friday, October 26, 2007

KP

(Kikaragosi kwa hisani ya http://kipanya.co.tz/ )


KUTOKANA NA MSIBA MZITO ULIOTUFIKA KUONDOKEWA NA MH.SALOME MBATIA.NA HII IKIWA NI BLOGU INAYOHUSU MASUALA YA WATOTO.

Tunasitisha shughuli zote za ujenzi wa blogu yetu kwa muda wa siku tatu ikiwa ni sehemu ya maombolezo.

Tuzidi kuwaombea familia,watanzania Mwenyezi Mungu atupe moyo wa subra,imani katika kipindi hiki kigumu.Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi.AMINA

Friday, October 19, 2007

Lucky Dube KATUTOKA


Imetubidi tusitishe ujenzi wa blog yetu na kuwaletea habari iliyotufikia hivi punde.
Jana katika jiji la Johannesburg,Afrika ya Kusini jana majira ya saa 2:30 usiku Lucky Dube alivamiwa na genge la majambazi na kupiga risasi zilizopelekea mauti yake.

Kwa niaba ya blog hii niwapa pole wale wote tuliguswa kwa namna moja ama nyingine na kifo Cha Lucky Dube(43).Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu,mahali pema peponi Amina.
Maelezo zaidi tutawaletea baadaye.

Tuesday, October 16, 2007