Tutafika tu
Blog
Tuesday, November 4, 2008
HONGERA OBAMA KUCHAGULIWA RAIS WA 44
Wakati wa Kampeni Barack Obama
Akiwa kazama mawozoni rais wa 44 wa USA
Kwa kuwa masaa yajayo nitakuwa katika kusaka mkate wakila siku.Naona nitumie fursa hii ingawa matokeo bado masaa kadhaa ndio yatangazwa baada ya Zoezi la upigani kura kumalizika.
Hongera Obama.
1 comment:
Yasinta Ngonyani
said...
Tena Hongera sana na nakutakia kazi nzuri na njema
November 4, 2008 at 11:24 PM
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
Tena Hongera sana na nakutakia kazi nzuri na njema
Post a Comment