
Menard Mponda ..tabasamu kuuuuubwa baada ya kushuhudia TANZANIGHT SHOW

Huyu "braza" alipiga ngoma balaa..Show ilikuwa kali

Kama kawaida msanii wa Bongo Flava Benjamini wa mambo Jambo akikamua

SANAA SANA kundi kutoka Tanzania lilifanya show kali na kuacha watu wakipagawa.

Pamoja tunawakilisha
No comments:
Post a Comment