Friday, February 24, 2017

YAMOTO BAND EUROPEAN TOUR - FRANKURT GERMANY ( JMOSI FEB 25,2017)

 YAMOTO BAND JUMAMOSI 25/02/2017 JIJI LA FRANKFURT UJERUMANI.

Yamoto Band kutoka Tanzania, kundi linaloundwa na wanamuzi wenye vipaji vya hali ya juu wanaendelea na ziara yao ya barani Ulaya. Band inaundwa na Dogo Aslay aka Dingo Mtoto, Beka 1, Enock Bella , Maromboso na  'mchezaji wa bendi' Chiba.

Yamoto Band tangu kuwasili  mwanzoni mwa February wakiwa wameambatana na meneja wa Chambusso , wamafanya maonyesho Stockholm -Sweden,  Wegackerstrasse Leimbach -Switxerland, Oslo-Norway,  Helsinki -Finland, Copenhagen - Denmark and Frankfurt Germany.

Mbali na maonyesho, Yamoto Band wameshiriki kwenye madarasa mbalimbali kufundisha (workshop) sanaa ya kitanzania na pia kupata fursa ya kujifunza na kurekodi kazi zao mpya kwenye studio za kisasa hapa Finland.

Wadau wa Ujerumani mjitokeze kwa wingi kwenye shughuli ya JUMAMOSI FEBRUARI 25, 2017 Frankfurt.

No comments: