

"kujimuvuzisha" na matokeo yake unaweza kushikia break kwenye bodi la gari nyingine.
Kwa taarifa iliyotolewa na mamlaka ya usalama wa barabarani ya hapa Ufini.Kuanzia Desemba mosi,kila mwenye lengo la kutumia gari lake basi ni LAZIMA awe amebadirisha na kuweka matairi ya winta.
Duh!poleni sana..ndio majukumu mimi katambuga zangu pia itabidi nitafute za WINTA.
Habari zaidi bofya HAPA
Siku njema
No comments:
Post a Comment