Ila kwa muda huu nitakuwa sipatikani kwa juma ili lote maana hapa kwa bibi ,kama unavyo cheki hii nyumba yetu,hatuna umeme.Ila karibu tena rafiki siku nyingine.
Tutafika tu.
5 comments:
Anonymous
said...
inakuwaje Edo.
wasalimie kwa bibi.Naona unatambaa kaka hadi kwenye Fotobaraza.
5 comments:
inakuwaje Edo.
wasalimie kwa bibi.Naona unatambaa kaka hadi kwenye Fotobaraza.
Jeni aka sister World
Nashukuru kwa kunitembelea karibu tena.
Napenda sana networking ndio maana unanikuta kwenye misele mingi..aa aa
pamoJAH dada yangu
Inakuwaje Masai..weka picha za ng'ombe basi tuzione.aa aaaa
vipi mbona umeadimika sana bongo5?
nilicheki kona moja picha yako unakamua maculture.
Picha uliyoweka hapo inafana sana na pale bujora.
sunday
mambo vipi NDAKI..
AFADHALI SAFARI HII UMETUAGA maana unaweza kuja hapa hata mara tatu kwa siku unakuta patapu.
lakini ukienda michuzi,mjenngwa,bc unakuta upo live..kwanini unakimbia kwako.
Erick
inakuaje kijana?
naona unatuonyesha mambo ya home sio?
sisi tunataka mambo ya huko Finland...lol...
unakumbuka mambo ya Eckernforde nguvu mali swahiba..aaaa
Post a Comment