Friday, July 25, 2008

Rais Wa Finland atembelea Tanzania


Pichani Rais Benjaman Mkapa akiwa na Bi Tarja Haloen Rais Finland, Feb 2013 Tanzania.

3 comments:

Anonymous said...

yaani huyu jamaa sijui vipi?

akiwa nje ya bongo anapenda sana kuongea na vyombo vya habari vya nje.

sasa akiwa bongo yaani alikuwa mbabe kweli.

Edo unakumbuka enzi zake jinsi alivyokuwa anaponda fani yenu?

Jerry-arusha

EDWIN NDAKI (EDO) said...

Mtu wangu unaongea ukweli.

Mkapa alikuwa na tabia ya kubeza sana waandishi wa ndani.

kasahau enzi za mwalimu yeye naye alikuwa mwandishi.

ila kubwa ya yote kwanini hataki kuongelea kashfa zake kama ni mtu safi?

Jerry arusha vipi mwana..

Unknown said...

Mkuu za leo.?
leo nimepita hapa kumwaga salaam zangu na kubeba ujuzi kidogo...
nakutakia kila la kheri..
tupo pamoja sana..
Haki