wakati fulani huawa najiuliza labda akili zetu huwa tunaazima mahala kwahiyo kuna muda tunazirejesha. pale mchikichini patatosha nini kama siyo kuta kuwaua watoto wa watu. wamejazana kama nini sijui, halafu wanadanganya eti lile jengo la MACHINGA COMPLEX, yaani tunajenga mighorofa hovyohovyo tu sijui ndiyo uchumi wa mafisadi? au nisaidie hapo nahisi akili inagota
2 comments:
wakati fulani huawa najiuliza labda akili zetu huwa tunaazima mahala kwahiyo kuna muda tunazirejesha. pale mchikichini patatosha nini kama siyo kuta kuwaua watoto wa watu. wamejazana kama nini sijui, halafu wanadanganya eti lile jengo la MACHINGA COMPLEX, yaani tunajenga mighorofa hovyohovyo tu sijui ndiyo uchumi wa mafisadi? au nisaidie hapo nahisi akili inagota
Kazi kwelikweli lakini tutafika tuu... biye
Post a Comment