Binafsi nimeliangalia sna hili swala kila mtu na lwake ukiangalia ktk blog yangu mwanzoni mwanzoni utaona. sijui labda ni nchi hizi za scandanevia tu au. Wnashindwa kuwatunza wazazi wao wanasema kama ulivyoandika hatuna nafasi mimi lazima nifanya kazi mimi sasa nina familia yangu. Je hajawaza kama bila huyu bibi, babu hangakuwepo hapa duniani. Kwani hata wajukuu nao hawana nafasi kuwahudumia bibi/babu. Kwa kwli mimi sitaki kabisa swala hili lipelekwe TZ watacheka sana kwanza hawataelewa. Lakini pia tusisahau kila nchi wana tamaduni zao vipi wanashirikiana. Umegundua pia kuhusu chakula watu wanapika chakula kwa lupima.
2 comments:
Binafsi nimeliangalia sna hili swala kila mtu na lwake ukiangalia ktk blog yangu mwanzoni mwanzoni utaona. sijui labda ni nchi hizi za scandanevia tu au. Wnashindwa kuwatunza wazazi wao wanasema kama ulivyoandika hatuna nafasi mimi lazima nifanya kazi mimi sasa nina familia yangu. Je hajawaza kama bila huyu bibi, babu hangakuwepo hapa duniani. Kwani hata wajukuu nao hawana nafasi kuwahudumia bibi/babu. Kwa kwli mimi sitaki kabisa swala hili lipelekwe TZ watacheka sana kwanza hawataelewa. Lakini pia tusisahau kila nchi wana tamaduni zao vipi wanashirikiana. Umegundua pia kuhusu chakula watu wanapika chakula kwa lupima.
Kweli kama ulivyosema dada yangu.
Hakika kila watu na tamaduni zao.
kwetu tuna utamaduni na mila za kuwaenzi na kuwaheshimu wazee achilia mbali baadhi ya watu ambao wanawauwa vikongwe kutokana na imani za kishirikina.
ila kubwa kweli kwetu hatuhitaji
Post a Comment