
Picha ikionyesha mtandao wa Bongocelebrity.com ukiwa kimya.
Kwa muda wa majuma haya mawili kumetokea hali isiyo ya kawaida.Hii ni kutokana na mtandao ni upendao kutoweza kuendeleza libeneke.
BC ilikuwa ni miongoni mwa mitandao ambayo nilikuwa napenda sana kupita kila siku.Nimekutana na marafiki wengi sana wapya na wazamani.
Nimesoma hoja,michango mbalimbali ya wadau.Kubwa ya yote nimebahatikana kuona sura na matukio mbalimbali za mselebriti wa kibongo.
Kwa yoyote mwenye taarifa kuhusu timu nzima ya BC naomba japo kunidokeza nami nijue.
Mwisho nawamiss sana watu wangu woote.Gervas,Matty,Kekuu,mama wa kichaga,Chris,Any,Dinah,Any,Amina,Pearl,Olive,Halima,Binti-Mzuri,Ramla,Queen,Pendo,Kahindi,
manenn,Mzanzibar 100%,Hombiz,
mtajiju na wengine weengi ambao najua ukurasa hautatosha.
Nawaomba mwenye taarifa basi anistue.
siku njema watu.
TUTAFIKA TU
11 comments:
Mita kullo, ni kweli kaka Edo ulikuwa umepotea mchana mwema nawe
hata nashindwa kusema kwani naona kama wanaumwa kidogo labda!!!!
Yasinta mimi mzima habari ya wewe?
namshukuru Mungu mambo yanaenda vema.
siku njema
Markus sio kawaida yao kupotea kiasi hicho labda kuna tatizo.
mambo yanasemaje huko mkuu?
Aiseee nami nashangaa sana kwa BC kuwa kimya! Naamini Jeff atatoa angalau sababu ya BC kuwa "hush" namna hii!
Was wondering myself nikadhani ni mimi tu siwapati...wamekuwa mdebwedo kabisa may be kuna issue sio kawaida yao kabisa.
Mimi naona tutafika lakini kwa kuchoka!
Mi mwenyewe nashangaa mzee wa tutafika anyway tusubiri, Jeff atatueleza.
Chris nimefurahi kukuona tena japo kwa vidakika maana BC yetu sijui inahujumiwa na nani?
Ila matumaini soon Jeff atatuleta majibu.
karibu tena Chriss
Matty umenichekesha kwamba tutafika kwa kuchoka...aa aaa aa
unajua BC ndio kibaraza chetu..wanakwambia hata kama una TV home lakini kutazama mpira ukiwa na company ndio unakuwa mtamu..
sasa Bc WANATAKA MIMI nibakie natazama mechi bila wadau...aa
tutafika tu
kekue..jamani karibu tena ingawa leo umenikuta nina haraka ndio maana hakuna hata maziwa ya kunywa..
karibu siku nyingine.
ahahahahhaahaha Edo ukweli ndo huo tutafika lakini kwa kuchoka!!! eti mpaka leo hawapo sijui imekuwaje walai!
Ukweli ni kwamba hakuna kama BC viwanja vingine vipo ila BC ndo our lovely ground!
Heeee ndo unamkaribisha kekuu bila hata soda basi maziwa hakuna na maji je???
Post a Comment