Marehemu Bw Salvatory Rutahinduka Kamali (RIP)
Jumuiya ya watanzania Sweden, inasikitika kutangaza kifo cha ndugu yetu mpendwa SALVATORY RUTAHINDUKA KAMALI
kilichotoea February 16, 2017 kwa kuangukiwa na gari akiwa kazini Sweden.
Kwa sasa mwili wa marehemu umeifadhiwa hospitali kwa uchunguzi, mara polisi watapokamilisha taratibu zao mtajulishwa taratibu za wapi kukutana na jinsi kuchangisha rambirambi kwa ajii ya kusafirisha mwili wa marehemu kwenda nyumbani Tanzania kwa mazishi.
Marehemu hana ndugu aliyepatikana hapa Sweden hivyo kwa maelezo zaidi unaweza wasiliana na
+ 46 70-642 43 99 SKOLA
+ 46729265552 NORMAN
+ 46729265552 NORMAN
TAFADHALI SAMBAZA UJUMBE HUU KWA WENGINE NI MSIBA WETU NA MARAFIKI ZETU.
Pumzika kwa amani. Amina
No comments:
Post a Comment