YAMOTO BAND JUMAMOSI 25/02/2017 JIJI LA FRANKFURT UJERUMANI.
Yamoto Band tangu kuwasili mwanzoni mwa February wakiwa wameambatana na meneja wa Chambusso , wamafanya maonyesho Stockholm -Sweden, Wegackerstrasse Leimbach -Switxerland, Oslo-Norway, Helsinki -Finland, Copenhagen - Denmark and Frankfurt Germany.
Mbali na maonyesho, Yamoto Band wameshiriki kwenye madarasa mbalimbali kufundisha (workshop) sanaa ya kitanzania na pia kupata fursa ya kujifunza na kurekodi kazi zao mpya kwenye studio za kisasa hapa Finland.
Wadau wa Ujerumani mjitokeze kwa wingi kwenye shughuli ya JUMAMOSI FEBRUARI 25, 2017 Frankfurt.
1 comment:
Yamoto Band 2013-2017
Post a Comment