Ghazala Khamis mwanamke anayeishi katika jiji la Cairo,amejifungua watoto saba kwa wakati mmoja.
Mama huyo alijifungua watoto wa kiume wanne na wa kike wawili.Watoto wapo kwenye hali nzuri.
Kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni.
Hongera mama kwa kujifungua salama.
Habari zaidi unaweza kubofya