Hivi ulishawahi kusoma St Augustine mwanza?Maana sura yako sio ngeni.Nakumbuka kuna mtu tulikuwa tunamuita kwa jina la Ishi sijui kama ni wewe au mnafanana.
Salome nashukuru kwa kutembelea kijiwe chetu hiki.
Ni kweli nilikuwa napiga shule pale sauti na nilihitimisha masomo yangu 2004.
aaa.aa umenikumbusha mbali.Maana Ishi lilikuwa jina la kutungiwa na watu kutoka na kipindi hicho nilikuwa nafanya kazi na kampeni ya kuhamasisha jamii kupambana VVU/UKIMWI..iliyokuwa inajulika kama ISHI.
Mweeeejamani iwas out of the moon nilikuwa sijui kama na wewe ni mwanabloglist...hongera kaka maana huwa nasoma comment zako zimetulia, endelea kutupa newzzzzz!Matty.
8 comments:
Edo sikuwezi.
Maana baada ya hii post najua utarejea tena mwezi wa sita.
Ahaa..aaa..wasalimia huko ufini.
Terry
Edo inabidi nikusaidie japo ka simu kangu ka camera ili japo uwe unateletea picha za huko...lol
Napenda sana maoni yako uwa nayasoma sana kule Bc.
Keep it up
Edo samahani naenda nje ya mtundiko.
Hivi ulishawahi kusoma St Augustine mwanza?Maana sura yako sio ngeni.Nakumbuka kuna mtu tulikuwa tunamuita kwa jina la Ishi sijui kama ni wewe au mnafanana.
Tuletee habari zaidi.
Salome nashukuru kwa kutembelea kijiwe chetu hiki.
Ni kweli nilikuwa napiga shule pale sauti na nilihitimisha masomo yangu 2004.
aaa.aa umenikumbusha mbali.Maana Ishi lilikuwa jina la kutungiwa na watu kutoka na kipindi hicho nilikuwa nafanya kazi na kampeni ya kuhamasisha jamii kupambana VVU/UKIMWI..iliyokuwa inajulika kama ISHI.
Karibu tena.
edwin
Mweeeejamani iwas out of the moon nilikuwa sijui kama na wewe ni mwanabloglist...hongera kaka maana huwa nasoma comment zako zimetulia, endelea kutupa newzzzzz!Matty.
Mzee wa mjengo,kumbe wewe ni aka Ishi!!sawa kaka
Kamanda MAJITA,
nashukuru sana kwa kuja kunijulia hali.
aaa.aaa kaka ilibidi ni we Ishi ..life lenyewe la kibongo linatisha... umeme nje nje.. aaaa
DUH!Nili misi hii kitu:-(
Post a Comment