Blog
Sema Edo...Hiyo imekaa njema..taratibu maana kama umeanza tako naogopa siku nyingine nitakutana na mengine...lol..pamoja mkuu.Issack
nimecheka sana,yaani Edo bado ujakuwa tu..aaa aaaaahiyo nayo kali.kweli kaka hizi lugha utata.Jane
mwanzo nilifikiri ni mambo ya photoshop..ila baada ya kuikuza picha ndio nikaone kitu ni chenyewe.Tatizo lako sijui maboksi yamekuzidi maana baada ya hii picha kukuona tena nafikiri mpaka pasaka ipite.Ufini ni lugha ya kwako au ni kiswahili?
March 13, 2008 1:30 PMMkuu neno "UFINI" ni lugha malidhawa kabisa ya kiswahili.karibu tena ...nitajitahidi sasa hivi kuboresha wakati mwingine majukumu yakuwa shingoni m2 wangu.Tutafika tu
:-)
Duh! kuna mitaa kwa Kabila nayo ina majina utata sana.
Haya, ikifika summer nitafutie maana ya joto kwa kifini
Hizo sanamu nimeziona sana Scandinavia kote Denmark na Sweden. UK huwezi kuta sanamu za uchi uchi nyingi mitaani na hata ukiona ni nadra sana. Hilo jina kweli utata.Mama Malaika
Post a Comment
8 comments:
Sema Edo...
Hiyo imekaa njema..taratibu maana kama umeanza tako naogopa siku nyingine nitakutana na mengine...lol..
pamoja mkuu.
Issack
nimecheka sana,yaani Edo bado ujakuwa tu..aaa aaaaa
hiyo nayo kali.
kweli kaka hizi lugha utata.
Jane
mwanzo nilifikiri ni mambo ya photoshop..ila baada ya kuikuza picha ndio nikaone kitu ni chenyewe.
Tatizo lako sijui maboksi yamekuzidi maana baada ya hii picha kukuona tena nafikiri mpaka pasaka ipite.
Ufini ni lugha ya kwako au ni kiswahili?
March 13, 2008 1:30 PM
Mkuu neno "UFINI" ni lugha malidhawa kabisa ya kiswahili.
karibu tena ...nitajitahidi sasa hivi kuboresha wakati mwingine majukumu yakuwa shingoni m2 wangu.
Tutafika tu
:-)
Duh! kuna mitaa kwa Kabila nayo ina majina utata sana.
Haya, ikifika summer nitafutie maana ya joto kwa kifini
Hizo sanamu nimeziona sana Scandinavia kote Denmark na Sweden. UK huwezi kuta sanamu za uchi uchi nyingi mitaani na hata ukiona ni nadra sana.
Hilo jina kweli utata.
Mama Malaika
Post a Comment